Yakobo 1:27
Yakobo 1:27 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Dini iliyo safi, isiyo na dosari mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.
Shirikisha
Soma Yakobo 1Yakobo 1:27 Biblia Habari Njema (BHN)
Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.
Shirikisha
Soma Yakobo 1