Yakobo 2:14
Yakobo 2:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Ndugu zangu, kuna faida gani mtu kusema ana imani, lakini haonyeshi kwa vitendo? Je, hiyo imani yawezaje kumwokoa?
Shirikisha
Soma Yakobo 2Yakobo 2:14 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba anayo imani, lakini hana matendo? Je! Ile imani yaweza kumwokoa?
Shirikisha
Soma Yakobo 2