Yeremia 25:6
Yeremia 25:6 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Msiifuate miungu mingine ili kuitumikia na kuiabudu. Msinikasirishe kwa vitu ambavyo mmevitengeneza kwa mikono yenu.”
Shirikisha
Soma Yeremia 25Yeremia 25:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Mwenyezi-Mungu aliwaonya Mmsifuate miungu mingine wala kuitumikia na kumkasirisha Mungu kwa kuabudu sanamu ambazo mmejitengenezea wenyewe. Kama Mmkimtii Mwenyezi-Mungu basi, yeye hatawaadhibu.
Shirikisha
Soma Yeremia 25