Yeremia 27:9
Yeremia 27:9 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kwa hiyo msiwasikilize manabii wenu, waaguzi wenu, waota ndoto wenu, watabiri na wachawi wanaowaambia ninyi: Hamtamtumikia mfalme wa Babeli.
Shirikisha
Soma Yeremia 27Yeremia 27:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, nyinyi msiwasikilize manabii wenu, wapiga ramli wenu, watabiri wenu, waaguzi wenu au wachawi wenu, wanaowaambia: ‘Msimtii mfalme wa Babuloni.’
Shirikisha
Soma Yeremia 27