Yohane 11:11
Yohane 11:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini mimi nitakwenda kumwamsha.”
Shirikisha
Soma Yohane 11Yohane 11:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.
Shirikisha
Soma Yohane 11