Yohane 11:38
Yohane 11:38 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, Yesu akiwa amehuzunika tena moyoni, akafika kaburini. Kaburi lenyewe lilikuwa pango, na lilikuwa limefunikwa kwa jiwe.
Shirikisha
Soma Yohane 11Yohane 11:38 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi Yesu, akiwa na huzuni tena moyoni mwake, akafika kwenye kaburi. Nalo lilikuwa ni pango, na jiwe limewekwa juu yake.
Shirikisha
Soma Yohane 11