Yohane 14:6
Yohane 14:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai. Hakuna awezaye kwenda kwa Baba ila kwa kupitia kwangu.
Shirikisha
Soma Yohane 14Yohane 14:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Shirikisha
Soma Yohane 14Yohane 14:6 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Shirikisha
Soma Yohane 14