Yohane 8:12
Yohane 8:12 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu. Anayenifuata mimi hatembei kamwe gizani, bali atakuwa na mwanga wa uhai.”
Shirikisha
Soma Yohane 8Yohane 8:12 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.
Shirikisha
Soma Yohane 8