Luka 12:15
Luka 12:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo.
Shirikisha
Soma Luka 12Luka 12:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, akawaambia wote, “Jihadharini na kila aina ya tamaa; maana uhai wa mtu hautegemei wingi wa vitu alivyo navyo.”
Shirikisha
Soma Luka 12