Luka 14:13-14
Luka 14:13-14 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Bali ufanyapo karamu waite maskini, vilema, viwete, vipofu, nawe utakuwa heri, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa; kwa maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki.
Shirikisha
Soma Luka 14Luka 14:13-14 Biblia Habari Njema (BHN)
Badala yake, unapofanya karamu, waalike maskini, vilema, viwete na vipofu, nawe utakuwa umepata baraka, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa. Maana Mungu atakupa tuzo lako wakati watu wema watakapofufuka.”
Shirikisha
Soma Luka 14