Luka 15:7
Luka 15:7 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na kenda ambao hawana haja ya kutubu.
Shirikisha
Soma Luka 15Luka 15:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Kadhalika nawaambieni, ndivyo kutakavyokuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya kutubu kwa mwenye dhambi mmoja, kuliko kwa ajili ya watu tisini na tisa wanaojiona kuwa wema, wasiohitaji kutubu.
Shirikisha
Soma Luka 15