Luka 16:10
Luka 16:10 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Yeyote aliye mwaminifu katika mambo madogo, pia ni mwaminifu hata katika mambo makubwa, naye mtu ambaye si mwaminifu katika mambo madogo pia si mwaminifu katika mambo makubwa.
Shirikisha
Soma Luka 16Luka 16:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Yeyote aliye mwaminifu katika mambo madogo, atakuwa mwaminifu katika mambo makubwa; na yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa.
Shirikisha
Soma Luka 16