Luka 16:31
Luka 16:31 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Abrahamu akamwambia, ‘Kama wasipowasikiliza Mose na Manabii, hawataweza kushawishika hata kama mtu akifufuka kutoka kwa wafu.’ ”
Shirikisha
Soma Luka 16Luka 16:31 Biblia Habari Njema (BHN)
Naye Abrahamu akasema: ‘Kama hawawasikilizi Mose na manabii, hawatajali hata kama mtu angefufuka kutoka kwa wafu.’”
Shirikisha
Soma Luka 16