Luka 17:4
Luka 17:4 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”
Shirikisha
Soma Luka 17Luka 17:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”
Shirikisha
Soma Luka 17