Luka 17:6
Luka 17:6 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Bwana akawajibu, “Kama mkiwa na imani ndogo kama punje ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu, ‘Ngʼoka ukaote baharini,’ nao ungewatii.
Shirikisha
Soma Luka 17Luka 17:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Naye Bwana akajibu, “Kama imani yenu ingekuwa ndogo hata kama chembe ndogo ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu: ‘Ngoka ukajipandikize baharini,’ nao ungewatii.
Shirikisha
Soma Luka 17