Luka 18:16
Luka 18:16 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Lakini Yesu akawaita wale watoto waje kwake, akasema, “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mungu ni wa wale walio kama hawa.
Shirikisha
Soma Luka 18Luka 18:16 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini Yesu akawaita kwake akisema: “Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana ufalme wa Mungu ni kwa ajili ya watu kama hawa.
Shirikisha
Soma Luka 18