Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 2:48 - Linganisha Matoleo Yote

Luka 2:48 BHN (Biblia Habari Njema)

Wazazi wake walipomwona walishangaa. Maria, mama yake, akamwuliza, “Mwanangu, kwa nini umetutendea hivyo? Baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa huzuni.”

Shirikisha
Luka 2 BHN

Luka 2:48 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Na walipomwona walishangaa, na mama yake akamwambia, Mwanangu, mbona umetutenda hivi? Tazama, baba yako na mimi tulikuwa tukikutafuta kwa huzuni.

Shirikisha
Luka 2 SUV

Luka 2:48 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Na walipomwona walishangaa, na mama yake akamwambia, Mwanangu, mbona umetutenda hivi? Tazama, baba yako na mimi tulikuwa tukikutafuta kwa huzuni.

Shirikisha
Luka 2 SRUV

Luka 2:48 NEN (Neno)

Yusufu na Mariamu mama yake walipomwona walishangaa. Mama yake akamuuliza, “Mwanangu, mbona umetufanyia hivi? Tazama, mimi na baba yako tumekuwa tukikutafuta kwa wasiwasi mkubwa kila mahali.”

Shirikisha
Luka 2 NEN