Luka 21:15
Luka 21:15 Biblia Habari Njema (BHN)
kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hata maadui zenu hawataweza kustahimili wala kupinga.
Shirikisha
Soma Luka 21Luka 21:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
kwa sababu mimi nitawapa kinywa na hekima ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga.
Shirikisha
Soma Luka 21