Luka 21:36
Luka 21:36 Biblia Habari Njema (BHN)
Muwe waangalifu basi, na salini daima ili muweze kupata nguvu ya kupita salama katika mambo haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele ya Mwana wa Mtu.”
Shirikisha
Soma Luka 21Luka 21:36 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi, kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka katika haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.
Shirikisha
Soma Luka 21