Luka 21:8
Luka 21:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu akawajibu, “Jihadharini, msije mkadanganyika. Maana wengi watatokea na kulitumia jina langu, kila mmoja akidai kwamba yeye ni mimi, na kwamba wakati ule umekaribia. Lakini nyinyi msiwafuate!
Shirikisha
Soma Luka 21Luka 21:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Akasema, Angalieni, msije mkadanganyika, kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ndiye; tena, Majira yamekaribia. Basi msiwafuate hao.
Shirikisha
Soma Luka 21