Luka 22:20
Luka 22:20 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula; akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.]
Shirikisha
Soma Luka 22Luka 22:20 Biblia Habari Njema (BHN)
Akafanya vivyo hivyo na kikombe cha divai baada ya chakula, akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya linalothibitishwa kwa damu yangu inayomwagika kwa ajili yenu.
Shirikisha
Soma Luka 22