Luka 23:34
Luka 23:34 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu akasema, “Baba, uwasamehe kwa maana hawajui wanalofanya.” Kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.
Shirikisha
Soma Luka 23Luka 23:34 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. Wakagawa mavazi yake, wakipiga kura.
Shirikisha
Soma Luka 23