Mathayo 13:44
Mathayo 13:44 Biblia Habari Njema (BHN)
“Ufalme wa mbinguni unafanana na hazina iliyofichika shambani. Mtu mmoja aliigundua, akaificha tena. Alifurahi sana hata akaenda kuuza yote aliyokuwa nayo, akalinunua shamba lile.
Shirikisha
Soma Mathayo 13Mathayo 13:44 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”
Shirikisha
Soma Mathayo 13