Mathayo 19:21
Mathayo 19:21 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu akamwambia, “Kama unapenda kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali yako, uwape maskini fedha hiyo, nawe utakuwa na hazina mbinguni, kisha njoo unifuate.”
Shirikisha
Soma Mathayo 19Mathayo 19:21 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Yesu akamwambia, “Kama ukitaka kuwa mkamilifu, nenda, ukauze vitu vyote ulivyo navyo, na hizo fedha uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni. Kisha njoo, unifuate.”
Shirikisha
Soma Mathayo 19