Mathayo 19:29
Mathayo 19:29 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu zake wa kiume au wa kike, baba au mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na ataurithi uzima wa milele.
Shirikisha
Soma Mathayo 19Mathayo 19:29 Biblia Habari Njema (BHN)
Na kila aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi, na kupata uhai wa milele.
Shirikisha
Soma Mathayo 19