Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 19:5 - Linganisha Matoleo Yote

Mathayo 19:5 BHN (Biblia Habari Njema)

na akasema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?’

Shirikisha
Mathayo 19 BHN

Mathayo 19:5 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?

Shirikisha
Mathayo 19 SUV

Mathayo 19:5 SRUV (Swahili Revised Union Version)

akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?

Shirikisha
Mathayo 19 SRUV

Mathayo 19:5 NEN (Neno)

naye akasema, ‘Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?

Shirikisha
Mathayo 19 NEN