Mathayo 24:36
Mathayo 24:36 Biblia Habari Njema (BHN)
“Lakini, juu ya siku au saa hiyo, hakuna mtu ajuaye itakuja lini; wala malaika wa mbinguni, wala Mwana; Baba peke yake ndiye ajuaye.
Shirikisha
Soma Mathayo 24Mathayo 24:36 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Kwa habari ya siku ile na saa, hakuna ajuaye, hata malaika walio mbinguni wala Mwana, ila Baba peke yake.
Shirikisha
Soma Mathayo 24