Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 28:14 - Linganisha Matoleo Yote

Mathayo 28:14 BHN (Biblia Habari Njema)

Na kama mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa nyinyi hamtapata matatizo.”

Shirikisha
Mathayo 28 BHN

Mathayo 28:14 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Na neno hili likisikilikana kwa liwali, sisi tutasema naye, nanyi tutawaondolea wasiwasi.

Shirikisha
Mathayo 28 SUV

Mathayo 28:14 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Na jambo hili likisikika kwa mtawala, sisi tutasema naye, nanyi hamtapata shida.

Shirikisha
Mathayo 28 SRUV

Mathayo 28:14 NEN (Neno)

Kama habari hizi zikimfikia mtawala, sisi tutamwondolea mashaka nanyi hamtapata tatizo lolote.”

Shirikisha
Mathayo 28 NEN