Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 5:22 - Linganisha Matoleo Yote

Mathayo 5:22 BHN (Biblia Habari Njema)

Lakini mimi nawaambieni, yeyote anayemkasirikia ndugu yake, lazima ahukumiwe. Anayemdharau ndugu yake atapelekwa mahakamani. Anayemwita ndugu yake: ‘Pumbavu’ atastahili kuingia katika moto wa Jehanamu.

Shirikisha
Mathayo 5 BHN

Mathayo 5:22 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Bali mimi nawaambieni, Kila amwoneaye ndugu yake hasira itampasa hukumu; na mtu akimfyolea ndugu yake, itampasa baraza; na mtu akimwapiza, itampasa jehanum ya moto.

Shirikisha
Mathayo 5 SUV

Mathayo 5:22 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Bali mimi nawaambieni, Kila amkasirikiaye ndugu yake itampasa hukumu; na mtu akimtusi ndugu yake, anastahili kuhukumiwa na baraza; na mtu akimwambia nduguye, Ewe mpumbavu, anastahili kuingia katika moto wa Jehanamu.

Shirikisha
Mathayo 5 SRUV

Mathayo 5:22 NEN (Neno)

Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote atakayemkasirikia ndugu yake, atapaswa hukumu. Tena, yeyote atakayemwambia ndugu yake, ‘Raka,’ atapaswa kujibu kwa Baraza la Wayahudi. Lakini yeyote atakayesema ‘Wewe mpumbavu!’ atapaswa hukumu ya moto wa Jehanamu.

Shirikisha
Mathayo 5 NEN