Mathayo 6:1
Mathayo 6:1 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Angalieni msitende wema wenu mbele ya watu ili wawaone. Kwa maana mkifanya hivyo, hamna thawabu kutoka kwa Baba yenu aliye mbinguni.
Shirikisha
Soma Mathayo 6Mathayo 6:1 Biblia Habari Njema (BHN)
“Jihadharini msije mkafanya matendo yenu mema mbele ya watu kusudi mwonekane nao. La sivyo, Baba yenu aliye mbinguni hatawapeni tuzo.
Shirikisha
Soma Mathayo 6