Mathayo 6:14
Mathayo 6:14 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kwa kuwa kama mkiwasamehe watu wengine wanapowakosea, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia.
Shirikisha
Soma Mathayo 6Mathayo 6:14 Biblia Habari Njema (BHN)
“Maana mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nyinyi pia.
Shirikisha
Soma Mathayo 6