Mathayo 6:24
Mathayo 6:24 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Hakuna mtu awezaye kuwatumikia mabwana wawili. Kwa kuwa atamchukia huyu na kumpenda yule mwingine, au atashikamana sana na huyu na kumdharau yule mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu pamoja na Mali.
Shirikisha
Soma Mathayo 6Mathayo 6:24 Biblia Habari Njema (BHN)
“Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili. Maana atamchukia mmoja na kumpenda huyo wa pili; au ataambatana na mmoja na kumdharau huyo mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali pamoja.
Shirikisha
Soma Mathayo 6