Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:28 - Linganisha Matoleo Yote

Mathayo 6:28 BHN (Biblia Habari Njema)

“Na kuhusu mavazi, ya nini kuwa na wasiwasi? Tazameni maua ya porini jinsi yanavyostawi. Hayafanyi kazi wala hayasokoti.

Shirikisha
Mathayo 6 BHN

Mathayo 6:28 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Na mavazi, ya nini kuyasumbukia? Fikirini maua ya mashamba, jinsi yameavyo; hayafanyi kazi, wala hayasokoti

Shirikisha
Mathayo 6 SUV

Mathayo 6:28 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Na mavazi, ya nini kuyasumbukia? Fikirini maua ya mashamba, jinsi yameavyo; hayafanyi kazi, wala hayasokoti

Shirikisha
Mathayo 6 SRUV

Mathayo 6:28 NEN (Neno)

“Nanyi kwa nini mnajitaabisha kwa ajili ya mavazi? Fikirini maua ya shambani yameavyo. Hayafanyi kazi wala hayafumi.

Shirikisha
Mathayo 6 NEN