Mathayo 6:9-10
Mathayo 6:9-10 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Hivi basi, ndivyo iwapasavyo kuomba: “ ‘Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe. Ufalme wako uje. Mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni.
Shirikisha
Soma Mathayo 6Mathayo 6:9-10 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, hivi ndivyo mnavyopaswa kusali: ‘Baba yetu uliye mbinguni: Jina lako litukuzwe. Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.
Shirikisha
Soma Mathayo 6