Mathayo 8:10
Mathayo 8:10 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Yesu aliposikia maneno haya, alishangaa, akawaambia wale waliomfuata, “Amin, nawaambia, hata katika Israeli sijapata kuona yeyote mwenye imani kubwa namna hii.
Shirikisha
Soma Mathayo 8Mathayo 8:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia watu waliokuwa wanamfuata, “Kweli nawaambieni, sijapata kumwona mtu yeyote katika Israeli mwenye imani kama hii.
Shirikisha
Soma Mathayo 8