Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 9:8 - Linganisha Matoleo Yote

Mathayo 9:8 BHN (Biblia Habari Njema)

Watu wote katika ule umati walipoona hayo, walishangaa na kuogopa; wakamtukuza Mungu aliyewapa binadamu uwezo wa namna hiyo.

Shirikisha
Mathayo 9 BHN

Mathayo 9:8 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii.

Shirikisha
Mathayo 9 SUV

Mathayo 9:8 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii.

Shirikisha
Mathayo 9 SRUV

Mathayo 9:8 NEN (Neno)

Umati wa watu walipoyaona haya, wakajawa na hofu ya Mungu, wakamtukuza Mungu aliyekuwa amewakabidhi wanadamu mamlaka kama haya.

Shirikisha
Mathayo 9 NEN