Marko 10:4 - Linganisha Matoleo Yote
Marko 10:4 BHN (Biblia Habari Njema)
Nao wakasema, “Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
Shirikisha
Marko 10 BHNMarko 10:4 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakasema, Musa alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha.
Shirikisha
Marko 10 SUVMarko 10:4 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Wakasema, Musa alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha.
Shirikisha
Marko 10 SRUVMarko 10:4 NEN (Neno)
Wakajibu, “Musa aliruhusu kwamba mume anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
Shirikisha
Marko 10 NEN