Marko 13:32
Marko 13:32 Biblia Habari Njema (BHN)
“Lakini, juu ya siku au saa hiyo hakuna mtu ajuaye itakuja lini; wala malaika wa mbinguni, wala Mwana; Baba peke yake ndiye ajuaye.
Shirikisha
Soma Marko 13Marko 13:32 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
Shirikisha
Soma Marko 13