Marko 13:7
Marko 13:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Mtakaposikia juu ya vita na fununu za vita, msifadhaike. Mambo hayo lazima yatokee, lakini mwisho wenyewe ungali bado.
Shirikisha
Soma Marko 13Marko 13:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nanyi mtakaposikia habari za vita na uvumi wa vita, msitishwe; hayo hayana budi kutukia, lakini ule mwisho bado.
Shirikisha
Soma Marko 13