Marko 13:9
Marko 13:9 Biblia Habari Njema (BHN)
“Lakini nyinyi jihadharini. Maana watu watawapelekeni mahakamani, na kuwapigeni katika masunagogi. Mtapelekwa mbele ya watawala na wafalme kwa sababu yangu, ili mpate kunishuhudia kwao.
Shirikisha
Soma Marko 13Marko 13:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nanyi jihadharini nafsi zenu; maana watawapeleka ninyi mabarazani; na katika masinagogi mtapigwa; nanyi mtachukuliwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushuhuda kwao.
Shirikisha
Soma Marko 13