Marko 15:15
Marko 15:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Pilato alitaka kuuridhisha huo umati wa watu; basi, akamwachilia Baraba kutoka gerezani. Akaamuru Yesu apigwe viboko, kisha akamtoa asulubiwe.
Shirikisha
Soma Marko 15Marko 15:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Pilato kwa kupenda kuwaridhisha watu, akawafungulia Baraba; akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, ili asulubiwe.
Shirikisha
Soma Marko 15