Marko 16:20
Marko 16:20 Biblia Habari Njema (BHN)
Wanafunzi wakaenda wakihubiri kila mahali. Bwana akafanya kazi pamoja nao na kuimarisha ujumbe huo kwa ishara zilizoandamana nao.]
Shirikisha
Soma Marko 16Marko 16:20 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nao wale wakatoka, wakahubiri kotekote, Bwana akitenda kazi pamoja nao, na kulithibitisha lile neno kwa ishara zilizofuatana nalo.]
Shirikisha
Soma Marko 16