Marko 2:12
Marko 2:12 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Hatujawahi kuona jambo kama hili kamwe.
Shirikisha
Soma Marko 2Marko 2:12 Biblia Habari Njema (BHN)
Mara, watu wote wakiwa wanamtazama, huyo mtu akainuka, akauchukua mkeka wake, akaenda zake. Watu wote wakashangaa na kumtukuza Mungu wakisema, “Hatujapata kamwe kuona jambo kama hili.”
Shirikisha
Soma Marko 2