Marko 2:9
Marko 2:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende?
Shirikisha
Soma Marko 2Marko 2:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Ni lipi lililo rahisi zaidi: Kumwambia mtu huyu aliyepooza, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kumwambia, ‘Inuka! Chukua mkeka wako utembee?’
Shirikisha
Soma Marko 2