Marko 4:38
Marko 4:38 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Naye mwenyewe alikuwapo katika shetri, amelala juu ya mto; wakamwamsha, wakamwambia, Mwalimu, si kitu kwako kuwa tunaangamia?
Shirikisha
Soma Marko 4Marko 4:38 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu alikuwa sehemu ya nyuma ya mashua, amelala juu ya mto. Basi, wanafunzi wakamwamsha na kumwambia, “Mwalimu, je, hujali kwamba sisi tunaangamia?”
Shirikisha
Soma Marko 4