Hesabu 12:9 - Linganisha Matoleo Yote
Hesabu 12:9 BHN (Biblia Habari Njema)
Hapo Mwenyezi-Mungu akawaka hasira dhidi yao, akaondoka, akaenda zake.
Shirikisha
Hesabu 12 BHNHesabu 12:9 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hasira za BWANA zikawaka juu yao; naye akaenda zake.
Shirikisha
Hesabu 12 SUVHesabu 12:9 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Hasira za BWANA zikawaka juu yao; kisha akaenda zake.
Shirikisha
Hesabu 12 SRUV