Hesabu 13:33
Hesabu 13:33 Biblia Habari Njema (BHN)
Tuliona majitu huko, wazawa wa Anaki. Sisi tulijiona kuwa kama panzi mbele yao, na ndivyo walivyotuona sisi.”
Shirikisha
Soma Hesabu 13Hesabu 13:33 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kisha, huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki, waliotoka kwa hao Wanefili; tukajiona nafsi zetu kuwa kama mapanzi; nao ndivyo walivyotuona sisi.
Shirikisha
Soma Hesabu 13