Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 16:29 - Linganisha Matoleo Yote

Hesabu 16:29 BHN (Biblia Habari Njema)

Watu hawa wakifa kifo cha kawaida, au wakipatwa na maafa kama watu wengine, basi jueni kuwa Mwenyezi-Mungu hakunituma.

Shirikisha
Hesabu 16 BHN

Hesabu 16:29 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Kama watu hawa wakifa kifo cha sikuzote, kama watu wote wafavyo, au kama wakipatilizwa kwa mapatilizo ya watu wote; hapo basi BWANA hakunituma mimi.

Shirikisha
Hesabu 16 SUV

Hesabu 16:29 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Kama watu hawa wakifa kifo cha kawaida, kama watu wote wafavyo, au kama wataadhibiwa kwa adhabu ya watu wote; hapo basi BWANA hakunituma mimi.

Shirikisha
Hesabu 16 SRUV

Hesabu 16:29 NEN (Neno)

Ikiwa watu hawa watakufa kifo cha kawaida na kupatwa na yale ya kawaida yanayowapata wanadamu, basi BWANA hakunituma mimi.

Shirikisha
Hesabu 16 NEN