Wafilipi 3:7
Wafilipi 3:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini mambo yale yaliyokuwa faida kwangu, niliyahesabu kuwa hasara kwa ajili ya Kristo.
Shirikisha
Soma Wafilipi 3Wafilipi 3:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini hayo yote ambayo ningeweza kuyafikiria kuwa ni faida, nimeyaona kuwa ni hasara, kwa ajili ya Kristo.
Shirikisha
Soma Wafilipi 3