Methali 19:10 - Linganisha Matoleo Yote
Methali 19:10 BHN (Biblia Habari Njema)
Haifai kwa mpumbavu kuishi kwa anasa, tena ni vibaya zaidi mtumwa kuwatawala wakuu.
Shirikisha
Methali 19 BHNMethali 19:10 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maisha ya anasa hayampasi mpumbavu; Sembuse mtumwa awatawale wakuu.
Shirikisha
Methali 19 SUVMethali 19:10 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Maisha ya anasa hayampasi mpumbavu; Sembuse mtumwa awatawale wakuu.
Shirikisha
Methali 19 SRUVMethali 19:10 NEN (Neno)
Haistahili mpumbavu kuishi katika anasa, itakuwa vibaya kiasi gani kwa mtumwa kuwatawala wakuu.
Shirikisha
Methali 19 NEN